Machapisho

SOMO:KUSIFU NA KUABUDU KATIKA BIBLIA.

Picha
HOW TO SING BETTER CLASSROOM With Ev Mhugo Hantish Kama utakua na swali lolote uliza kwa namba 0768788303. ………………………….. FAHAMU NINI MAANA KUSIFU NA KUABUDU KATIKA BIBLIA Nini maana ya kusifu na kuabudu KUSIFU NA KUABUDU ni maneno tofauti na yana maana tofauti 1. kusifu MAANA --- nikuelezea wasifu au wajihi za kitu au mtu. Sasa tunaposema tunamsifu Mungu inamaanisha ni KWA KUMUINUA JUU, KUSHUKURU KUMPAZIA SAUTI,KUFANYIA SWANGWE, KUJISHUSHA CHINI YAKE KWA UNYEYEKEVU,nk Zaburi 100:4 Neno hili kusifu kwa kiebrania lilikuwa na maana ya; Tehila, yaani kutamka neno kwa kuongeza vionjo na mbwembwe zaidi. Mfano neno haleluya unalitamka (Ha, ha leluya huuu eee) Tehila ni kuwa kama kichaa unaposifu au kuabudu kwa utukufu wa Bwana. (Nilidhani labda hapa ndipo waswahili walipopata neno taahila). Yadaa yaani kujiachia kwa Mungu (you just surrender yourself to the Lord). Barak yaani kusaluti mbele za Bwana. Ni kuonyesha kwamba ni yeye peke yake anayestahili heshima na u...

NENO LA LEO

Picha

TANGAZO

Picha

Niwe Nawe- Busy Boy ft Pastor Juliet (Official Video Full HD)

Picha
                                                Niwe Nawe- Busy Boy ft Pastor Juliet         Is the new video from Kenyan man of God. Keep supporting him by clicking logo over there then you will be blessed by Jesus Christ through watching it.

TOFAUTI YA NEEMA NA REHEMA

Picha
Ev. Mhugo Hantish Mhugo Hantish at Africa/Dar_es_Salaam . 11 hrs · Instagram · Si kwa sababu ya NEEMA aa Ila ni kwa sababu ya REHEMA za Mungu ndizo zilizonifanya kukutana na NEEMA ya WOKOVU WA MUNGU. # SIDHANIkamaNIMEELEWEKAvizuri

ACHA MAZOEA YA IBADA.

BWANA YESU ASIFIWE! LEO NIMEONA TUJIKUMBUSHE KIDOGO HABARI ZA IBADANI. TUSOME KWANZA KATIKA BIBLIA YETU TAKATIFU.  MITHALI 7:1-2 "Mwanangu, yashike maneno yangu, Na kuziweka amri zangu akiba kwako. Uzishike amri zangu ukaishi, Na sheria yangu kama mboni ya jicho lako"   Haleluya! Namshukuru sana Mungu mwenye rehema ya kwamba ameniwezesha kuiona siku hii na kuitumia kwa misingi aliyoniachia tangu kuzaliwa kwangu. Nimeona nizungumze nawe maneno haya leo mbele yako. namsihi Roho wa Bwana akutangulie katika kulielewa neno hili.   Huku nikiendelea, anza kufikiri maisha yako ni mara ngapi umehudhuria ibadani huku ukiwa na fahamu za kutosha? katika siku au ibada zote ulizokwisha kuhudhuria umepiga hatua ya kiroho kwenda mbele zaidi?  nauliza swali hi kwasababu wapo watu humu au nje ya ibadani ambao wao kazi yao kila jumapili wanaleta mahudhurio tu kwa mchungaji, lakini mioyoni mwao hawamjui Mungu na wala hawana mpango wa kumpokea Mungu nafsini mwao. Wao wakiingia mal...

EV MHUGO HANTISH WITH FARIDA HANTISH tar 14.02.2017

Picha
VIDEO : jinsi ilivyokuwa tar 14.02.2017 kwa akina Hantish na Farida. Yamkini ndoa yako ina misukosuko, Hadi unatamani uachane na mume/mke wako, (kwa wale wenye furaha na amani hii haiwahusu) Au unafikia hatua ya kutaka kujiua, au kumuua, TAMBUA ya kwamba Roho wa Mungu yu upande wako... Atakusimamia, atakutetea... Wewe mwenye mpango mkakati wa kuoa au kuolewa... Tulia kwa makini kabisa mbele za Mungu na kumwomba akuchagulie kilicho chema kabisa. # usikurupuke Leo wanasema ni siku ya WAPENDANAO, je ina maana siku zingine zote ni siku za WACHUKIANAO? Siku hii isikufanye wewe utende dhambi, isikufanye umtendeshe dhambi mwingine. # jichunge na # jihadhari ...  MUNGU AMEAGIZA UPENDO WA KWELI.. UPENDO WA KWELI HAUFI, HAUJI NA KUONDOKA, WALA KUPOTEA... # MUNGU AKUBARIKI WEWE PAMOJA NA JAMAA ZAKO. .