Machapisho

SOMO:NINI MAPENZI YA MUNGU JUU YAKO?

Picha
Mungu ana mapwnzi mema kwetu sisi wanadamu,yaani Mungu anatupenda zaidi.     Mathayo 7:21 Luka 6:46-47 ". ..si kila mtu aniambiaye Bwana Bwana ndiye atakaye ingia katika ufalme wa Mbinguni, bali ni yeye afanyaye mapenzi ya baba yangu wa mbinguni..." Hiyo ni sauti ya mwana wa Mungu, Yesu Kristo. Baada ya kuwa na hofu juu ya imani yao waaminio, Bwana Yesu anawauliza wanafunzi kwamba " kwanini mnaniita Bwana, Bwana lakini hamyatendi nisemayo.. ?" ...anaongeza na kusema kuwa " kila mtu AJAYE kwangu na KUYASIKIA maneno yangu na KUYATENDA nitawaonyesha mfano wake. ." sasa Mapenzi ya Mungu yaani Mungu anatarajia kuwa sisi sote tukiwa kama wana wake tunapaswa kumfuata, kuyasikia na kuyatendea kazi yale yote atuagizayo. hivyo ndiyo Mungu atakavyo.huwa ninasemezana na jamaa zangu kwamba Mungu ana makusudi ya kukuweka u hai hadi leo hii. sasa ungali hai leo fikiri ni jinsi gani umepiga hatua mbele au umerudi zaidi nyuma katika kumcha Mungu? ukiona huna hata hatu...

habari picha

Picha
furaha imetanda mzee jozack mhugo kisalimiana mzee mtanga katika kufikiri jambo mzee Jozack mhugo(kushoto) akibadilishana mawazo pamoja na wenzie. vijana wakipiga vinywaji hapo

Ev. Mhugo Hantish atarajia kufunga ndoa tar. 01.10.2016.

Picha

NIMEKUKIMBILIA WEWE. By mhugo hantish the sound of worship.

Picha
mkimbilie Mungu katika vikwazo unavyokutana navyo. mwimbie tenzi na zaburi. farijika kwa hilo.

EMMANUEL HEKIMA MHUGO

Picha
ni katika mahafali ya my young brother na wenzie kidato cha nne pale dulamu secondary kata ya dulamu wilayani njombe huko.

SOMO: AINA ZA UBATIZO

Picha
 "mimi niliwabatiza kwa maji bali yeye atawabatiza kwa Roho mtakatifu.." ni maneno ya Yohana mbatizaji yanayosomeka katika injili ya Marko mt.1:8 alipokuwa akiwahubiria wanafunzi waliokuwa wakimsubiri kwa shauku kuu mwana wa Adam. leo mie mtumishi wa Mungu nakwambia tena kwa msisitizo kuwa mimi ni tabibu tu ninae weza kukutibu pindi upatwapo na shida ya kiafya, lakini Mungu pekee ndiye mponyaji, awezaye kukuponya pale nilipo kutibu.    Hivyo napenda wote kwa pamoja tujifunze utofauti kati ya kazi ya kutibu na kuponya . kama nilivyoeleza hapo juu.    lakini pia jambo jingine ambalo ningependa nikushirikishe ni kutoka katika mstari tuliokwisha kuusoma.. ni jinsi gani watu wamekuwa wakichanganywa sana na hata kuyumbishwa hadi imani zao kwa sababu ya ubatizo. katika Biblia takatifu ambayo kila muumini wa madhehebu ya kikristo anaisoma iantueleza kuwa kuna aina kuu mbili za ubatizo;-1.ubatizo kwa njia ya maji na 2.ubatizo kwa njia ya Roho mtakatifu.  si...

USIWE MWEPESI WA KUKATA TAMAA

Picha
1ISAYA1:1-17 SOMO:USIWE MWEPESI WA KUKATA TAMAA Mpendwa msomaji wangu wa blogu hii, Bwana Yesu apewe sifa? leo nimependa kushirikiana na wewe ili tuzungumze juu ya kuto kata tamaa mapema kwa yale uliyowahi kuyaomba mbele za Mungu na pengine hadi leo hujafanikiwa. Katika Biblia tunaona Elkana alikuwa na wake wawili, mmoja mkubwa Hanna na mwingine mdogo Penina ambaye pia alifanikiwa kuwa na wana lakini Hanna hakufanikiwa kuwa na wana. ilikuwa ni kwa kipindi kirefu sana Hana hakuwa na wana. alifikia kipindi Hanna alimlilia Mungu sana. ilikuwa ni vigumu kwa akili za kibinadamu kukubaliana na maumivu yale kwa muda mrefu. na pia haikuwa rahisi kuendelea kumwomba Mungu kwa muda mrefu lakini ni kwa jinsi gani imani iliyo kuwa ndani ya moyo wa Hanna mbele za Mungu.kumbuka hapa tunamtumia sana Hanna kwa kuwa ndiye aliyepita katika maisha ya vita. lakini tutambue pia umuhimu wa Penina katika maisha ya Hanna na Elikana.     Elikana aliwapenda sana wake zake hata hakufikiri kuwaten...